Mahafari hiyo ilifanyika tarehe 19/10/2019 na kuhudhuriwa na wazazi, watumishi pamoja na wageni mbalimbali. Pia mahafari ilihudhuriwa na wajumbe wa bodi ya shule wakiongoza na mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi Mama Eva Fumbuka.

Mgeni rasmi  kwenye mahafari hii alikuwa Ndg. Kwangu Masalu Zabrone ambaye ni kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Habari, Utafiti na Machapisho wa  Taasisi ya Elimu. Yeye alimwakilisha Mkurugenzi mkuu wa taasisi hiyo Dkt. Aneth Komba ambaye  ndiye alitarajiwa kuwepo kwenye mahafari  hiyo.

Katika mahafari hii kulifanyika pia maonesho ya kitaaluma (Academic exhibitions) ambayo yalikuwa kivutio kikubwa kwa wazazi pamoja na wageni mbalimbali.

EAGLES HighSchool 0161

 EAGLES HighSchool 0160

EAGLES HighSchool 0157

EAGLES HighSchool 0133

EAGLES HighSchool 0144

EAGLES HighSchool 0006

EAGLES HighSchool 0058