Kwa mala nyingine shule ya sekondari ya Eagles imeshiriki kwenye mbio za Bagamoyo Marathon 2019. Mwaka huu watumishi wameshiriki kwa wingi zaidi ya mwaka jana. Lengo kubwa la mbio hizo ni kujenga umoja, kuimalisha afya ya watumishi, lakini kipekee sana ni kuitangaza shule ya kwa kuzingatia kuwa mbio hizo zinajumuisha watu wengi kutoka sehemu mbalimbali. Mgeni mashuhuri kwa mara nyingine alikuwa waziri wa maliasili na utalii Mh. Hamisi Kigwangala.

marathon2019 1

marathon2019 2

marathon2019 3

Read also: Eagles High School participation in the 5th Bagamoyo Marathon

Gallery: Academic staff, students and teachers