Baraza la mitihani la Taifa ( NECTA) limetoa matokeo ya kidato kidato cha pili na cha nne.

Kwa kidato cha pili: ftna_results_S2354-2019.pdf
Div:I- 09
      II-14
      III- 04
      IV- 03
Hakuna div 0.


Kwa kidato cha nne: csee_results_s2354-2019.pdf
Div: I- 17
       II- 46
       III- 14
       IV- 02
Hakuna div 0.

Wanafunzi 77 waliomaliza kidato cha nne wanna sifa ya kujiunga kidato cha tano mwaka huu huku wanafunzi 02 wakiwa wamepata div 4 ya point 26 ambayo wanaweza kupata nafasi ya kujiunga na vyuo mbalimbali.

 Soma pia: Taarifa fupi kuhusu Shule ya Sekondari ya Eagles

Gallery: Academic staff, students and teachers