Baraza la mitihani la Taifa ( NECTA) limetoa matokeo ya kidato kidato cha pili na cha nne.
Kwa kidato cha pili: ftna_results_S2354-2019.pdf
Div:I- 09
II-14
III- 04
IV- 03
Hakuna div 0.
Kwa kidato cha nne: csee_results_s2354-2019.pdf
Div: I- 17
II- 46
III- 14
IV- 02
Hakuna div 0.
Wanafunzi 77 waliomaliza kidato cha nne wanna sifa ya kujiunga kidato cha tano mwaka huu huku wanafunzi 02 wakiwa wamepata div 4 ya point 26 ambayo wanaweza kupata nafasi ya kujiunga na vyuo mbalimbali.