Shule ya sekondari Eagles itafunguliwa siku ya Jumapili tarehe 28.06.2020.

Wanafunzi wanaoanza kidato cha tano mwaka 2020 pia wataripoti siku hiyo kwa masomo yatakayoanza tarehe 29.06.2020.

Nafasi za kuhamia na kujiunga kidato cha tano bado zipo kwa tahsusi za PCM, PCB, PGM, CBG, PMC, CBC, ECA, HGE, EGM, KLF, HGL, HKL na HGK.

Wanafunzi wanatatakiwa kuchukua tahadhari ya Ugonjwa wa mapafu (Covid-19) kwa kuja na mahitaji k.m. vitakasa mikono (sanitizer) na barakoa (masks) za kutosha. 

Kwa mawasiliano zaidi piga simu hizi; 0738719877, 0738719870 na 0754303759.